USHAURI WA KIROHO KWA MTU AMBAYE ANAPITIA HALI NGUMU KIUCHIMI NA VIPINDI VINGUMU MAISHANI.
Ninatambua jinsi gani hali ngumu ya kiuchumi inaweza kuwa changamo tokubwa na kusababisha hisia za kukata tamaa.ni muhimu kukumbuka kuwa kila mtu hupitia vipindi vingumu maishani mwake, na hali hiyo haijalishi wewe ni nani au ni kitu gani unafanya.
biblia imejaa mifano mingi ya watu ambao walipita vipindi vigumu na changmoto,lakini baadae waliweza kufanikiwa.Hapa kuna baadhi ya mistari ya biblia,inayoweza kukutia moyo na kukusaidia katika wakati huu mgumu.
1.Zaburi 34;17-18;walilia naye Bwana akawasikia akawaponya na taabu zao zote,bwana yu karibu nao waliovunjika moyo na waliopondeka roho huwaokoa. Katika kipindi hiki kigumu cha uchumi,Mungu atakuokoa kutoka kwenye kila hali inayokulemea Mungu atakuletea mafanikio.
2.Wafilipi 4;13;Nayeweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu;Aya hii inatuimiza kuwa na imani katika Mungu na kutambua kuwa kupitia nguvu yake tunashinda changamoto zote.
3.Warumi 8;28;Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampenddao,katika kuwapatia mema yaani walioitwa kwa kusuddi lake;hali hii inatuhakikishia kuwa Mungu anatumia changamoto zetu kwaajili ya kusudi letu jema na katika mwisho tutafanikiwa.
4.Zaburi37;25;Nalikuwa kijana nami sasa ni mzee,lakini sijamuona mwenye haki ameachwa wala wazao wake wakiomba chakula barabarani;Hii inatuimiza kumtegemea Mungu na kusubiri kwa hamu wakati wetu wa mafanikio utakapofika.
Ni muhimu pia kukumbuka kuwa mafanikio utofautiana kwa kila mtu na sio lazima yawe mafaniko ya kipesa pekee,Tumia kipindi hiki cha ugumu kama fursa ya kujifunza,Kubadili mtazamo na kuboresha ujuzi wako.Tafuta njia mbadala za kujiongezea kipato na fursa za kubadili uchumi wako.
Pia usisite kuomba msaada na ushauri kutoka kwa wataalamu wa masuala ya fedha na wafanyakazi wenzako au marafiki.Kuzungumza na watu wenye uzoefu na kupata ushauri kutoka kwa washauri wa fedha.kunaweza kukusaidia kuelewa hali yako na kuboresha uchumi wako.KUMBUKA HAKUNA CHANCHAMOTO ISIKUWA NA MWISHO. WASILIANA NAMI +225692076903
.
WAKATI UNAPOPITIA CHANGAMOTO WATU WATA KUJA KUKUTIA MOYO LAKINI HAWATAWEZA KUTATUA CHANGAMOTO ULIYONAYO BALI YESU ANAWEZA YOTE.
ReplyDeleteNingependa kumpendekeza mmoja wa wazimu wanaoheshimika zaidi wa wakati wetu. Ni mtu ambaye amewasaidia watu wengi jijini wakati wa hali ngumu.
ReplyDeleteBaadhi ya watu hata humwita "mungu mdogo" kwa sababu ya uwezo wake mkubwa wa kiroho na jinsi anavyowasaidia wale wanaomjia kwa ajili ya mwongozo.
Unaweza kumtumia ujumbe kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe wightmagicmaster@gmail.com
Tafadhali zungumza naye kwa heshima na ueleze hali yako wazi, naye atajitahidi kukusaidia.
Anatoa mwongozo wa kiroho na usaidizi kwa hali tofauti, ikiwa ni pamoja na:
• Masuala ya mapenzi na uhusiano, ikiwa ni pamoja na kusaidia kuungana tena na mpenzi wa zamani.
• Kurejesha ndoa na mahusiano yenye matatizo.
• Maombi na mila za kiroho kwa ajili ya ulinzi na mafanikio.
• Tiba za mitishamba za kuponya VVU, saratani, malengelenge.
• Maombi ya uzazi na usaidizi wa kiroho kwa wanandoa wanaotaka kupata mimba katika wiki chache.
• Uwezo wa Telekinesis. Uwezo wa kubadilisha umbo.
• Tambiko na maombi ya utajiri wa papo hapo.
• Msaada wa kiroho katika hali ngumu kama vile kesi za mahakamani, kurejesha mali iliyopotea, na changamoto zingine za maisha.
Watu wengi wamepokea msaada na mwongozo kupitia kazi yake ya kiroho.